Monday, April 18, 2016

TUMAINI NJOLE AFANYA MAAJABU KATIKA IBADA YA JUMAPILI 17.04.2016 KATIKA KANISA LA MLIMA WA MOTO MIKOCHENI "B" WENGI WASHANGAZWA

Mwimbaji wa Nyimbo za Injili Tanzania Tumaini Njole aliyealikwa katika kanisa la Mlima wa Moto Mikocheni "B" Assemblies of God linaloongozwa na Bishop Dr. Gertrude Rwakatare aliweza kufanya vitu ambavyo watu hawakutegemea kuona mwimbaji wa nyimbo za Injili ana nguvu za MUNGU kiasi hicho. Wengi watokwa na machozi huku wakimsikiliza vile ambavyo tunaamini Mungu alikuwa akimuongoza afanye. Ungana nami kuangalia clip hii

No comments:

Post a Comment

WALIOTEMBELEA - VISITORS

BLOG designer: Rumafrica

BLOG designer: Rumafrica
Blog hii imetegenezwa na Rumafrica +255 715 851 523 | www.rumaafrica.blogspot.com | www.facebook.com/Rulea Sangaa/