Friday, April 8, 2016

VITAMBULISHO VILIVYOTOKA NA KUKABIDHIWA NA KATIBU MUENEZI STELLA JOEL KUTOKA RUMAFRICA TAREHE

 Hawa ni wanachama halali walitimiza sheria zote za kuwa wanacahama wa Chama Cha Muziki wa Injili Tanzania, na wana haki wa kupata haki zao zote kutoka katika chama hiki. Unakaribihwa sana wewe mwimbaji na mwanamuziki yeyote wa Gospel kujiunga na chama hiki. Nafasi zipo wazi.










No comments:

Post a Comment

WALIOTEMBELEA - VISITORS

BLOG designer: Rumafrica

BLOG designer: Rumafrica
Blog hii imetegenezwa na Rumafrica +255 715 851 523 | www.rumaafrica.blogspot.com | www.facebook.com/Rulea Sangaa/