Friday, April 1, 2016

UONGOZI WA CHAMUITA UNAKUOMBA KUKAMILISHA VILE VINAVYOHITAJIKA KATIKA VITAMBULISHO VIPYA VYA CHAMUITA 2016-2020

Uongozi wa CHAMUITA unakuomba wewe mwimbaji wa njyimbo za Injili Tanzania ambaye umejiunga na Chama Cha Muziki wa Injili Tanzania (CHAMUITA) ambaye hujakamilisha na hujapata kitambulisho chako kipya cha mwaka 2016-2020, unaombwa kukamilisha taarifa zako na tuma kwa Katibu Muenezi CHAMUITA da Stella Joel, namba yake ipo kwenye kitambulisho hapo chini.
Tunachotaka kutoka kwako ni
1. Jina lako kamili
2. Mahali unapoishi au Box
3. Saini yako
4. Namba ya simu
5. Nafasi yako au cheo chako CHAMUITA

Mfano wa kitambulisho



No comments:

Post a Comment

WALIOTEMBELEA - VISITORS

BLOG designer: Rumafrica

BLOG designer: Rumafrica
Blog hii imetegenezwa na Rumafrica +255 715 851 523 | www.rumaafrica.blogspot.com | www.facebook.com/Rulea Sangaa/