Friday, March 18, 2016

MUNGU AKAMTETEE MWANA CHAMUITA TUMAINI NJOLE KATIKA MEGA MKATE

Tunatambua kipaji ambacho Mungu amempa Tumaini Njole cha uimbaji. Kama WanaCHAMUITA tuna kila sababu ya kutambua kipaji hicho ambacho kimewafanya waandaji wa MEGA MKATE kumualika ili akaweze kuwabariki watu watakaofika katika tamasha hilo la kipekee. Tamka Neno kwaajili ya Tumaini ili Mungu amsaidie siku hiyo awepo. Amina

No comments:

Post a Comment

WALIOTEMBELEA - VISITORS

BLOG designer: Rumafrica

BLOG designer: Rumafrica
Blog hii imetegenezwa na Rumafrica +255 715 851 523 | www.rumaafrica.blogspot.com | www.facebook.com/Rulea Sangaa/