Friday, March 18, 2016

TUTAPITA KATIKATI YAO-MC JOSHUA MAKONDEKO ANAHITAJI MAOMBI YAKO KATIKA MEGA MKATE

Ukiona mtu amekualika katika shughuli yake basi ujue kuna kitu amekiona ndani yako na anatambua mchango wake. Mega Mkate na Praise Power wameona karama aliyonayo mwana CHAMUITA Mc. Joshua Makondeko na wakaamua kumualika akafanye huduma pamoja nao. Sasa kama Mwana CHAMUITA naomba umuombee huyu mtumishi atakapoingia tu ukumbini watu wakapone na kufunguliwa hata kabla ya kuimba. Iombee huduma yake isonge mbele. Mungu ibariki Tanzania, Mungu mbariki MC. Joshua Makondeko. Amen

No comments:

Post a Comment

WALIOTEMBELEA - VISITORS

BLOG designer: Rumafrica

BLOG designer: Rumafrica
Blog hii imetegenezwa na Rumafrica +255 715 851 523 | www.rumaafrica.blogspot.com | www.facebook.com/Rulea Sangaa/