Tuesday, March 29, 2016

MWANACHAMA WA CHAMUITA MC. JOSHUA MAKONDEKO AKONGA MIYO YA WATU NDANI YA MEGA MKATE NA PRAISE POWER RADIO URAFIKI SOCIAL HALL JIJINI DAR ES SALAAM

MC. Joshua Makondeko ni mwimbaji wa nyimbo za Injili Tanzania, Mtangazaji wa LTV Tanzania na pia ni Mwanachama wa Chama Cha Muziki wa Injili Tanzania (CHAMUITA). Siku ya Jumapili ya Pasaka 27.03.2016 aliweza kufanya vizuri sana katika tamasha la Mega Mkate na Praise Power Radio lililofanyika katika ukumbi wa Urafiki Social Hall Sinza Legho jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

WALIOTEMBELEA - VISITORS

BLOG designer: Rumafrica

BLOG designer: Rumafrica
Blog hii imetegenezwa na Rumafrica +255 715 851 523 | www.rumaafrica.blogspot.com | www.facebook.com/Rulea Sangaa/